Waamuzi 9:39-41
39
Basi Gaali akatoka akawaongoza watu wa Shekemu kupigana na Abimeleki.
40
Abimeleki akamfukuza, watu wengi wakajeruhiwa katika kukimbia huko, njia nzima hadi kwenye ingilio la lango.
41
Abimeleki akakaa Aruma, naye Zebuli akawafukuza Gaali na ndugu zake watoke Shekemu.