Waamuzi 9:38-39
38
Ndipo Zebuli akamwambia, “Kuko wapi kujivuna kwako sasa, wewe uliyesema, ‘Huyo Abimeleki ni nani hata tumtumikie?’ Hawa si wale watu uliowadharau? Toka nje sasa ukapigane nao!”
39
Basi Gaali akatoka akawaongoza watu wa Shekemu kupigana na Abimeleki.