Skip to content
Waamuzi 6:22-24

Waamuzi 6:22-24

22
Gideoni alipotambua kuwa ni malaika wa Bwana, akapiga kelele kwa mshangao, akasema, “Ole wangu, Bwana Mwenyezi! Kwa kuwa nimemwona malaika wa Bwana uso kwa uso!”
23
Lakini Bwana akamwambia, “Amani iwe kwako! Usiogope. Hutakufa.”
24
Hivyo Gideoni akamjengea Bwana madhabahu mahali pale na kupaita, Yehova-Shalom. Mpaka leo ingalipo imesimama huko Ofra ya Waabiezeri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options