Skip to content
Waamuzi 6:22-23

Waamuzi 6:22-23

22
Gideoni alipotambua kuwa ni malaika wa Bwana, akapiga kelele kwa mshangao, akasema, “Ole wangu, Bwana Mwenyezi! Kwa kuwa nimemwona malaika wa Bwana uso kwa uso!”
23
Lakini Bwana akamwambia, “Amani iwe kwako! Usiogope. Hutakufa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options