Skip to content
Waamuzi 21:2-3

Waamuzi 21:2-3

2
Watu wakaenda Betheli, wakaketi mbele za Mungu mpaka jioni, wakapaza sauti zao, wakalia sana.
3
Wakasema, “Ee Bwana, Mungu wa Israeli, kwa nini jambo hili limewapata Waisraeli? Kwa nini kabila moja la Israeli limekosekana?”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options