Skip to content
Waamuzi 21:1-2

Waamuzi 21:1-2

1
Wana wa Israeli walikuwa wameapa kwa kiapo kule Mispa: “Hapana mtu yeyote atakayemwoza binti yake kwa Wabenyamini.”
2
Watu wakaenda Betheli, wakaketi mbele za Mungu mpaka jioni, wakapaza sauti zao, wakalia sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options