Skip to content
Waamuzi 20:47-48

Waamuzi 20:47-48

47
Lakini watu 600 wakakimbia kuelekea nyikani katika mwamba wa Rimoni, na kukaa huko muda wa miezi minne.
48
Waisraeli wakarudi na kuua watu wote wa Benyamini, pamoja na wanyama na kila walichokikuta. Pia kila mji waliouona waliuchoma moto.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options