Waamuzi 20:46-48
46
Siku ile wakawaua Wabenyamini 25,000 waliokuwa mashujaa wa vita.
47
Lakini watu 600 wakakimbia kuelekea nyikani katika mwamba wa Rimoni, na kukaa huko muda wa miezi minne.
48
Waisraeli wakarudi na kuua watu wote wa Benyamini, pamoja na wanyama na kila walichokikuta. Pia kila mji waliouona waliuchoma moto.
Settings