Skip to content
Waamuzi 20:18-21

Waamuzi 20:18-21

18
Waisraeli wakapanda Betheli na kumuuliza Mungu, “Ni nani miongoni mwetu atakayetangulia mbele yetu ili kupigana na Wabenyamini?” Bwana akawajibu, “Yuda ndiye atakayetangulia.”
19
Asubuhi yake Waisraeli wakaamka na kupiga kambi karibu na Gibea.
20
Waisraeli wakatoka kupigana na Wabenyamini, nao Waisraeli wakajiweka kwenye nafasi zao katika vita dhidi yao huko Gibea.
21
Wabenyamini wakatoka Gibea na kuwaua watu 22,000 wa Israeli siku ile.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options