Skip to content
Waamuzi 2:20-21

Waamuzi 2:20-21

20
Kwa hiyo Bwana akawakasirikia sana Israeli na kusema, “Kwa kuwa taifa hili limevunja Agano lile nililofanya na baba zao na hawakunisikiliza,
21
mimi nami sitafukuza taifa lolote ambalo Yoshua aliliacha alipofariki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options