Skip to content
Waamuzi 2:20-23

Waamuzi 2:20-23

20
Kwa hiyo Bwana akawakasirikia sana Israeli na kusema, “Kwa kuwa taifa hili limevunja Agano lile nililofanya na baba zao na hawakunisikiliza,
21
mimi nami sitafukuza taifa lolote ambalo Yoshua aliliacha alipofariki.
22
Nitayatumia ili nipate kuwapima Israeli na kuona kama wataishika njia ya Bwana na kuenenda katika hiyo kama njia baba zao walivyofanya.”
23
Bwana alikuwa ameyaacha hayo mataifa yabaki; hakuyaondoa mara moja kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options