Fò sí àkóónú
Waamuzi 2:10-13

Waamuzi 2:10-13

10
Baada ya kizazi kile chote kukusanywa pamoja na baba zao, kikainuka kizazi kingine baada yao ambacho hakikumjua Bwana, wala matendo yale aliyokuwa ametenda kwa ajili ya Waisraeli.
11
Kwa hiyo Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Bwana na kuwatumikia Mabaali.
12
Wakamwacha Bwana, Mungu wa baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri. Wakaifuata na kuiabudu miungu mbalimbali ya mataifa yanayowazunguka. Wakamkasirisha Bwana,
13
kwa sababu walimwacha na kutumikia Baali na Maashtorethi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options