Skip to content
Waamuzi 17:5-6

Waamuzi 17:5-6

5
Basi Mika alikuwa na mahali pa kuabudia miungu, akatengeneza naivera, pamoja na vinyago, na kumweka mmoja wa wanawe kuwa kuhani wake.
6
Katika siku hizo Israeli hawakuwa na mfalme, kila mmoja akafanya kama alivyoona vyema machoni pake mwenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options