Skip to content
Waamuzi 15:9-10

Waamuzi 15:9-10

9
Wafilisti wakapanda na kupiga kambi huko Yuda na kuenea huko Lehi.
10
Watu wa Yuda wakawauliza, “Kwa nini mmekuja kupigana nasi?” Wakawajibu, “Tumekuja ili kumkamata Samsoni na kumtenda kama alivyotutendea.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options