Skip to content
Waamuzi 15:7-8

Waamuzi 15:7-8

7
Samsoni akawaambia, “Kwa kuwa mmetenda hivyo, hakika sitatulia mpaka niwe nimelipiza kisasi juu yenu.”
8
Akawashambulia kwa ukali kwa mapigo makuu na kuwaua watu wengi sana. Kisha akateremka na kukaa katika ufa kwenye mwamba wa Etamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options