Skip to content
Waamuzi 14:1-2

Waamuzi 14:1-2

1
Samsoni akateremkia Timna, akamwona mwanamke wa Kifilisti.
2
Alipopanda kutoka huko, akawaambia baba yake na mama yake, “Nimemwona mwanamke wa Kifilisti huko Timna; basi mnipe ili awe mke wangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options