Skip to content
Waamuzi 11:13-15

Waamuzi 11:13-15

13
Mfalme wa Waamoni akawajibu wajumbe wale wa Yefta, “Wakati Waisraeli walipopanda kutoka Misri, waliichukua nchi yangu kuanzia Arnoni mpaka Yaboki, hadi kufikia Yordani. Sasa rudisha kwa amani.”
14
Yefta akarudisha wajumbe kwa mfalme wa Waamoni,
15
kusema: “Hili ndilo asemalo Yefta, Israeli hawakuchukua nchi ya Moabu wala ya Waamoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options