Skip to content
Waamuzi 1:1-2

Waamuzi 1:1-2

1
Baada ya kifo cha Yoshua, Waisraeli wakamuuliza Bwana, “Ni nani atakayetangulia kupanda mbele yetu kwa ajili ya kupigana na Wakanaani?”
2
Bwana akajibu, “Yuda ndiye atakayetangulia; nimewapa hiyo nchi mikononi mwao.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options