Skip to content
Yoshua 8:26-27

Yoshua 8:26-27

26
Kwa maana Yoshua hakuurudisha ule mkono wake uliokuwa umeuinua mkuki hadi alipomaliza kuwaangamiza wote walioishi Ai.
27
Lakini Israeli wakajichukulia mifugo na nyara za mji huu, kama vile Bwana alivyokuwa amemwagiza Yoshua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options