Skip to content
Yoshua 7:4-5

Yoshua 7:4-5

4
Basi wakapanda kama watu elfu tatu tu, lakini wakashambuliwa na watu wa Ai,
5
ambao waliwaua watu kama thelathini na sita miongoni mwao. Wakawafukuza Waisraeli kutoka lango la mji hadi Shebarimu, nao wakawauwa huko kwenye materemko. Kutokana na hili mioyo ya watu ikayeyuka ikawa kama maji.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options