Skip to content
Yoshua 4:1-3

Yoshua 4:1-3

1
Wakati taifa lote lilipokwisha kuvuka Mto Yordani, Bwana akamwambia Yoshua,
2
“Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa watu, kila kabila mtu mmoja,
3
nawe uwaambie wachukue mawe kumi na mawili katikati ya Mto Yordani, palepale makuhani waliposimama, wayachukue na kuyaweka mahali mtakapokaa usiku huu wa leo.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options