Sari la conținut
Yoshua 24:9-10

Yoshua 24:9-10

9
Wakati Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, alipojiandaa kupigana dhidi ya Israeli, alimwita Balaamu mwana wa Beori apate kuwalaani.
10
Lakini sikumkubali Balaamu, kwa hiyo aliwabariki tena na tena, nami niliwaokoa toka mkononi mwake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options