Skip to content
Yoshua 20:2-3

Yoshua 20:2-3

2
“Waambie Waisraeli, watenge miji mikubwa ya kukimbilia, kama nilivyokuagiza kupitia Mose,
3
ili mtu yeyote atakayemuua mtu kwa bahati mbaya na pasipo kukusudia aweze kukimbilia huko na kujiepusha na mlipiza kisasi wa damu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options