Yoshua 2:8-9
8
Kabla wale wapelelezi hawajalala, Rahabu akawaendea huko juu darini,
9
akawaambia, “Ninajua kuwa Bwana amewapa nchi hii na hofu kuu imetuangukia kwa sababu yenu, kiasi kwamba wote waishio katika nchi hii wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yenu.