Skip to content
Yoshua 13:2-3

Yoshua 13:2-3

2
“Nchi iliyosalia ni hii: maeneo yote ya Wafilisti na Wageshuri:
3
kutoka Mto Shihori ulioko mashariki mwa Misri, kuelekea kaskazini kwenye eneo la Ekroni, ambayo yote ilihesabika kama ya Wakanaani (maeneo yale matano ya watawala wa Kifilisti, ambayo ni Gaza, Ashdodi, Ashkeloni, Gathi na Ekroni: ndiyo nchi ya Waavi);
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options