Skip to content
Yoshua 10:9-10

Yoshua 10:9-10

9
Baada ya Yoshua kutembea usiku kucha kutoka Gilgali, akawashambulia ghafula.
10
Bwana akawafadhaisha mbele ya Waisraeli, nao wakawashinda kwa ushindi mkuu huko Gibeoni. Israeli wakawafukuza kuelekea njia iendayo Beth-Horoni wakiwaua mpaka kufikia njia iendayo Azeka na Makeda.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options