Skip to content
Yoshua 10:38-39

Yoshua 10:38-39

38
Ndipo Yoshua na Israeli wote wakageuka na kuushambulia Debiri.
39
Wakauteka mji, mfalme wake na vijiji vyake, na kuupiga kwa upanga. Kila mmoja aliyekuwa ndani yake wakamwangamiza kabisa. Hawakubakiza mtu yeyote. Wakaufanyia Debiri na mfalme wake kama vile walivyokuwa wameifanyia miji ya Libna na Hebroni na wafalme wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options