Skip to content
Yona 1:15-16

Yona 1:15-16

15
Kisha walimchukua Yona, wakamtupa baharini nayo bahari iliyokuwa imechafuka ikatulia.
16
Katika jambo hili watu wakamwogopa Bwana sana, wakamtolea Bwana dhabihu na kumwekea nadhiri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options