Skip to content
Yohana 9:13-15

Yohana 9:13-15

13
Wakamleta kwa Mafarisayo yule mtu aliyekuwa kipofu hapo awali.
14
Basi siku hiyo Yesu alipotengeneza tope na kuyafungua macho ya huyo mtu ilikuwa Sabato.
15
Mafarisayo nao wakaanza kumuuliza alivyopata kuponywa. Naye akawaambia, “Alinipaka tope kwenye macho yangu, nikanawa na sasa ninaona.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options