Skip to content
Yohana 8:44-45

Yohana 8:44-45

44
Ninyi ni watoto wa baba yenu ibilisi, nanyi mnataka kutimiza matakwa ya baba yenu. Yeye alikuwa muuaji tangu mwanzo, wala hakushikana na kweli maana hamna kweli ndani yake. Asemapo uongo husema yaliyo yake mwenyewe kwa maana yeye ni mwongo na baba wa huo uongo.
45
Lakini kwa sababu nimewaambia kweli hamkuniamini!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options