Skip to content
Yohana 8:3-5

Yohana 8:3-5

3
Walimu wa sheria na Mafarisayo wakamleta mwanamke mmoja aliyefumaniwa akizini. Wakamsimamisha katikati ya umati wa watu wote.
4
Wakamwambia Yesu, “Mwalimu, huyu mwanamke amekutwa akizini.
5
Katika sheria, Mose alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake wa namna hii, mpaka wafe. Sasa wewe wasemaje?”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options