Ir para o conteúdo
Yohana 7:38-39

Yohana 7:38-39

38
Yeyote aniaminiye mimi, kama Maandiko yasemavyo, vijito vya maji ya uzima vitatiririka ndani mwake.”
39
Yesu aliposema haya alimaanisha Roho Mtakatifu ambaye wote waliomwamini wangempokea, kwani mpaka wakati huo, Roho alikuwa hajatolewa, kwa kuwa Yesu alikuwa bado hajatukuzwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options