Skip to content
Yohana 7:33-34

Yohana 7:33-34

33
Yesu akasema, “Mimi bado niko pamoja nanyi kwa kitambo kidogo, kisha nitarudi kwake yeye aliyenituma.
34
Mtanitafuta lakini hamtaniona, nami niliko ninyi hamwezi kuja.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options