Skip to content
Yohana 7:14-15

Yohana 7:14-15

14
Ilipokaribia katikati ya Sikukuu, Yesu alipanda kwenda Hekaluni na kuanza kufundisha.
15
Wayahudi wakastaajabia mafundisho yake wakasema, “Mtu huyu amepataje kujua mambo haya bila kufundishwa?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options