Skip to content
Yohana 6:8-9

Yohana 6:8-9

8
Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, ndugu yake Simoni Petro, akamwambia,
9
“Hapa kuna mvulana mmoja mwenye mikate mitano ya shayiri na samaki wawili wadogo. Lakini hivi vitatosha nini kwa umati huu wote?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options