Skip to content
Yohana 6:8-9

Yohana 6:8-9

8
Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, ndugu yake Simoni Petro, akamwambia,
9
“Hapa kuna mvulana mmoja mwenye mikate mitano ya shayiri na samaki wawili wadogo. Lakini hivi vitatosha nini kwa umati huu wote?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options