Skip to content
Yohana 6:55-58

Yohana 6:55-58

55
Kwa maana mwili wangu ni chakula cha kweli na damu yangu ni kinywaji cha kweli.
56
Yeyote alaye mwili wangu na kunywa damu yangu, atakaa ndani yangu nami nitakaa ndani yake.
57
Kama vile Baba aliye hai alivyonituma mimi, na kama nami ninavyoishi kwa sababu ya Baba, hivyo anilaye mimi ataishi kwa sababu yangu.
58
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, si kama ule mkate baba zenu waliokula nao wakafa. Lakini yeye aulaye mkate huu ataishi milele.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options