Skip to content
Yohana 6:25-26

Yohana 6:25-26

25
Walipomkuta Yesu ngʼambo ya bahari wakamuuliza, “Rabi, umefika lini huku?”
26
Yesu akawajibu, “Amin, amin nawaambia, ninyi hamnitafuti kwa kuwa mliona ishara na miujiza, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options