Skip to content
Yohana 6:18-21

Yohana 6:18-21

18
Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
19
Wanafunzi walipokuwa wamekwenda mwendo wa karibu maili tatu au nne, walimwona Yesu akitembea juu ya maji akikaribia mashua, nao wakaogopa sana.
20
Lakini Yesu akawaambia, “Ni mimi. Msiogope.”
21
Ndipo wakamkaribisha kwa furaha ndani ya mashua, na mara wakafika ufuoni walikokuwa wakienda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options