Skip to content
Yohana 6:18-19

Yohana 6:18-19

18
Bahari ikachafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma.
19
Wanafunzi walipokuwa wamekwenda mwendo wa karibu maili tatu au nne, walimwona Yesu akitembea juu ya maji akikaribia mashua, nao wakaogopa sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options