Skip to content
Yohana 6:16-17

Yohana 6:16-17

16
Ilipofika jioni, wanafunzi wake waliteremka kwenda baharini.
17
Wakaingia kwenye mashua, wakaanza kuvuka bahari kwenda Kapernaumu. Wakati huu kulikuwa tayari giza na Yesu alikuwa hajajumuika nao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options