Skip to content
Yohana 6:14-15

Yohana 6:14-15

14
Baada ya watu kuona muujiza ule Yesu aliofanya, walianza kusema, “Hakika huyu ndiye Nabii ajaye ulimwenguni!”
15
Yesu akijua kwamba walitaka kuja kumfanya awe mfalme wao, kwa nguvu, akajitenga nao akaenda milimani peke yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options