Yohana 6:1-4
1
Baada ya haya, Yesu alikwenda ngʼambo ya Bahari ya Galilaya, ambayo pia huitwa Bahari ya Tiberia.
2
Umati mkubwa wa watu uliendelea kumfuata, kwa sababu waliona ishara nyingi za miujiza alizofanya kwa wagonjwa.
3
Kisha Yesu akapanda mlimani akaketi huko pamoja na wanafunzi wake.
4
Pasaka ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
Settings