پرش به محتوا
Yohana 4:37-38

Yohana 4:37-38

37
Hivyo kule kusema, ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ ni kweli kabisa.
38
Niliwatuma mkavune mazao ambayo hamkupanda, wengine walifanya kazi ngumu, nanyi mmevuna faida ya taabu yao.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options