Skip to content
Yohana 4:33-34

Yohana 4:33-34

33
Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”
34
Lakini Yesu akawajibu, “Chakula changu ni kufanya mapenzi ya Mungu ambaye amenituma na kuikamilisha kazi yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options