Skip to content
Yohana 4:31-33

Yohana 4:31-33

31
Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wakimsihi, “Rabi, kula angalau chochote.”
32
Lakini yeye akawajibu, “Mimi ninacho chakula ambacho ninyi hamkifahamu.”
33
Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options