Skip to content
Yohana 3:5-8

Yohana 3:5-8

5
Yesu akamwambia, “Amin, amin nakuambia, hakuna mtu yeyote anayeweza kuingia Ufalme wa Mungu kama hajazaliwa kwa maji na kwa Roho.
6
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
7
Kwa hiyo usishangae ninapokuambia huna budi ‘kuzaliwa mara ya pili.’
8
Upepo huvuma popote upendapo. Mvumo wake unausikia lakini huwezi ukafahamu utokako wala uendako. Ndivyo ilivyo kwa kila mtu aliyezaliwa na Roho.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options