Zum Inhalt springen
Yohana 3:5-7

Yohana 3:5-7

5
Yesu akamwambia, “Amin, amin nakuambia, hakuna mtu yeyote anayeweza kuingia Ufalme wa Mungu kama hajazaliwa kwa maji na kwa Roho.
6
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
7
Kwa hiyo usishangae ninapokuambia huna budi ‘kuzaliwa mara ya pili.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options