Skip to content
Yohana 3:5-6

Yohana 3:5-6

5
Yesu akamwambia, “Amin, amin nakuambia, hakuna mtu yeyote anayeweza kuingia Ufalme wa Mungu kama hajazaliwa kwa maji na kwa Roho.
6
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options