Skip to content
Yohana 3:4-8

Yohana 3:4-8

4
Nikodemo akauliza, “Awezaje mtu kuzaliwa wakati akiwa mzee? Hakika hawezi kuingia mara ya pili kwenye tumbo la mama yake ili azaliwe!”
5
Yesu akamwambia, “Amin, amin nakuambia, hakuna mtu yeyote anayeweza kuingia Ufalme wa Mungu kama hajazaliwa kwa maji na kwa Roho.
6
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
7
Kwa hiyo usishangae ninapokuambia huna budi ‘kuzaliwa mara ya pili.’
8
Upepo huvuma popote upendapo. Mvumo wake unausikia lakini huwezi ukafahamu utokako wala uendako. Ndivyo ilivyo kwa kila mtu aliyezaliwa na Roho.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options