Skip to content
Yohana 3:20-21

Yohana 3:20-21

20
Kwa kuwa kila atendaye maovu huchukia nuru, wala haji kwenye nuru ili matendo yake maovu yasifichuliwe.
21
Lakini yule aishiye kwa ukweli huja kwenye nuru, ili ionekane wazi kwamba matendo yake yametendeka katika Mungu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options